Mr.Alexander Minja Kombe Enzi ya uhai wake
Jumamosi tarehe 22,December 2012 saa sita kamili mchana(12:00 noon)kutafanyika misa na pia kuuaga mwili wa marehemu Mzee wetu Alexander Minja Kombe katika kanisa la St.Camillus lililopo:
1600 Camillus Drive
Silver Spring,MD 20903
Tafadhali fika mapema.

Baada ya misa unakaribishwa kushiriki na familia katika chakula cha mchana nyumbani kwa marehemu katika anuani ifuatayo:
8918 2nd Street
Lanham,MD 20706

Kwa maelezo zaidi wasiliana na wafuatao:
George Kombe-240 476 3260
Leslie Kombe-240 386 7583
Stella Kombe-301 281 1116
Dorice Mushi-240 688 3219
Jerome Kassembe-240 682 6067
Baraka Daudi-301 792 8562

Tafadhali tumia account ifuatayo kwa michango ya rambi rambi:
Jina:Julia Shirima
Bank:Bank of America
Routing:052001633
Account:44 60 25 80 85 24

Asanteni.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...