Mdau wa Globu ya Jamii,Fatma Awudu Rajab Mwinyijuma akiwa ni mwenye furaha sana mara baada ya kulamba nondozz yake ya Bachelor Of Science of Nursing katika Chuo Kikuu cha Kennesaw State University,
Atlanta Georgia.
Mdau Fatma Awudu Rajab Mwinyijuma akiwa na mumewe pamoja na Mama yake Mzazi,Bi Amina Rajabu Mwinyijuma,waliofika Chuoni hapo kumpongeza baada ya kulamba nondozz yake ya Bachelor Of Science of Nursing katika Chuo Kikuu cha Kennesaw State University, Atlanta Georgia.
Mdau Fatma Awudu Rajab Mwinyijuma akiwa na dada zake.
Hongera sana Bi. Fatma!
ReplyDeleteInshallah Mwenyezi atakuongoza uitumie vema elimu yako kwa faida za Duniya na Akhera.
Hongera Bi FAtma ALLAh akujaalie iwe ndio mwanzo wa mafanikio yako AMin, Dadio safarini Atlanta GA.
ReplyDeleteHongera Sana Sana da Fatma Allah akujaze ma degree mengine kibao na usiishie hapo tu ufike mbali zaidi na uspecilize on something.Hongera once again na Allah ibarik.
ReplyDeleteQaqa wa habib.