Ni mdau Rehema Mwaituka  ambaye baada ya kula nondozzzz yake  katika fani ya ustawi wa jamii katika Chuo cha Ystawi wa Jamii jijini Dar es salaam aliamua  kusherehekea na wazee wanaoishi katika kijiji cha wasiojiweza cha Msimbazi Centre jijini Dar es salaam
 Rehema akiwakaribisha wazee katika meza ya chakula
 Mdau Rehema akipata mlo na wazee

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. good sana
    ni email mvdimpo@gmail.com

    ReplyDelete
  2. Hongera Mdau Rehema !!!

    Huo ndio moyo wa kujali na ulezi wa Jamii.

    Inshallah, Mwenyezi atakulipa kwa kuwajali!@

    ReplyDelete
  3. imekaa vizuri sana. Na wenye watoto tuige mfano huu tukifanya hepi birthday za watoto wetu!!

    ReplyDelete
  4. Wewe dada Mungu akubariki sana. Siyo tu umeenda shule, bali umeelewa ulichofundishwa. Hiyo ndiyo tofauti kati ya kuelimika na kutoelimika.

    ReplyDelete
  5. Hii nimeipenda sana pia. Mdada katoka kivingine. Mungu ambariki sana. Kama hajapata kazi, Namuombea apate kazi mara tu baada ya msimu wa sikukuu kupita. Amen.

    ReplyDelete
  6. huo sasa ndio ubinadamu sasa kuwa kumbuka hata wasio jiweza kama hivyo siku ukipata freshi sana, dada mungu atakuongezea zaidi,,

    ReplyDelete
  7. ukisikia mtu kuwa na wito wa kufanya kazi katika jamii ni mfano wa huyu dada. Mungu akutangulie ulivyo anza na umalize hivyo hivyo dada yangu. umekuwa mfano mzuri sana

    ReplyDelete
  8. Aisee we dada umetupa Somo watanzania, mungu akubariki.

    ReplyDelete
  9. Hongera sana sana dada

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...