Waziri mkuu Mhe Mizengo Pinda akizindua mradi wa madawati kwa kukata utepe katika kijiji cha Inyoga mkoani Katavi. Kulia kwake ni mkuu wa mkoa wa Katavi Dr Rajabu Rutengwe na kushoto ni mwenye kiti wa kijiji cha Inyogo bwana Athony Kanyika. Mhe Pinda, ambaye ni mbunge wa jimbo la katavi, yupo jimboni kwa ziara ya kukagua shughuli za maendeleo.
Waziri mkuu Mhe Mizengo Pinda amepewa heshima ya kimila kwa kuvishwa kofia na kukabidhiwa mkuki na wazee wa Inyonga kama ishara ya kutambua mchango wake aliowaletea wananchi wa mkoa wa Katavi. Picha na Chris Mfinanga
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...