Waziri mkuu Mhe Mizengo Pinda akizindua mradi wa  madawati kwa kukata utepe katika kijiji cha Inyoga mkoani Katavi. Kulia kwake ni mkuu wa mkoa wa Katavi Dr Rajabu  Rutengwe na kushoto ni mwenye kiti wa kijiji cha Inyogo bwana Athony Kanyika. Mhe Pinda, ambaye ni mbunge wa jimbo la katavi,  yupo  jimboni kwa ziara ya kukagua  shughuli za maendeleo.
Waziri mkuu Mhe Mizengo Pinda amepewa heshima ya kimila kwa kuvishwa kofia na kukabidhiwa mkuki na wazee wa Inyonga kama ishara ya kutambua mchango wake aliowaletea wananchi wa mkoa wa Katavi. Picha na Chris Mfinanga

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...