Muziki wa Kongo si Ndombolo ya solo pekee, kama walivyodhihirisha vijana wa TRIO MADJESI & SOSOLISO walipotamba na vibao kibao ikiwamo hiki cha PHOTO YA MADJESI. Asante mdau Mesiaki kwa kutuletea ngoma hii na kutupa ujumbe huu chini: 

 Ankal, 
Hii kitu ya photo madjesi ya Sosoliso ilikuwa moto wa kuotea mbali yaani mabrazameni wa wakati huo hawawezi kupatikana leo tuwape vitu wadau 
I am sorry....
 Mdau Mesiaki

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Si mchezo. Hapa kama sikosei ni mwaka 1973 au 1974 na tunaona 'influence' ya mwanamuziki wa Marekani James Brown kwa wanamuziki wa Afrika enzi hizo. Hawa jamaa walikuwa ni wakali wa kupiga live. Unachokisikia katika rekodi zao ndicho kilekile utakachokisikia wakipiga live.

    ReplyDelete
  2. UMENIRUDISHA MBALI SANA..

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...