Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipongezwa na Mwenyekiti wa CUF Profesa Ibrahim Lipumba leo Desemba 31, 2012 wakati wa kupiga picha baada ya kuzindua matokeo ya sensa ya watun na makazi katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam. PICHA NA IKULU

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Anastahili pongezi.Swali-Kuna uhusiano wowote kati ya Ongezeko la watu na ukuaji wa Uchumi wa nchi??Heri ya mwaka mpya wote,

    David V

    ReplyDelete
  2. wow, kila miaka 10 tunaongeza milioni 10 (milioni kila mwaka, 2740 kila siku,115 kila saa, 2 kila dakika).

    Hii kasi kubwa saana ukizingatia kasi kubwa ya kufa kwa ukimwi, malaria, kipindupindu na ajali za barabarani. Inabidi tuongeze muda wa kufanya kazi na kupunguze muda wa kulala.

    ReplyDelete
  3. Tanzania ndiyo nchi yenye kasi ndogo ya ukuaji wa idadi ya watu Afrika Mashariki na Kati ( yaani kasi ni ndogo kuliko kasi ya kuzaana Uganda, Burundi, Kenya, Rwanda ).

    Inaonekana juhudi zikifanyika kuhakikisha nyota ya kijani infuatwa basi tutakuwa na ksi ndogo ya kuzaana kama Ulaya na Japani.
    World bank report http://www.theeastafrican.co.ke/news/Tanzania-alarm-over-expected-population-boom/-/2558/1655352/-/83jsmc/-/index.html

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...