Mkuu wa Kitengo cha Udhamini na Mawasiliano wa Vodacom, Kelvin Twissa (kulia) akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani namna huduma ya upatikanaji wa taarifa za hali ya hewa kuanzia sasa itakavyofanyika kwa ushirikiano wa Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini na Kampuni ya Vodacom, kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania, Dk Agnes Kijazi.
Kwa taarifa kamili BOFYA HAPA


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...