Mkurugenzi wa Kampuni ya Glitz Entertainment Limited, ambao ni waandaaji wa tamasha la TOTO PARTY, Bw. Dennis Ssebo akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari juu ya tamasha hilo la watoto linalotarajia kufanyika tarehe 25 na 26 Desemba 2012 katika ufukwe wa Cine Club jijini Dar es Salaam. Pembeni ni Mkuu wa Kitengo cha Bidhaa na Masoko ya ECO Bank Bw. Andrew Lyimo.
Mkuu wa Kitengo cha Bidhaa na Masoko ya ECO Bank Bw. Andrew Lyimo (wa kwanza kulia) akiongea kuelezea jinsi benki hiyo ilivyojitoa kudhamini tamasha la TOTO PARTY. Pembeni yake ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Glitz Entertainment Limited, ambao ni waandaaji wa tamasha la TOTO PARTY, Bw. Dennis Ssebo na Meneja wa Masuala ya Biashara Bw. Adenkule Adewaye.
Meneja wa Masuala ya Biashara Bw. Adenkule Adewaye (wa kwanza kushoto) akielezea machache yanayohusu benki yao.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...