Viongozi wa klabu za waandishi wa habari za Pwani na Kilimanjaro
wakijadiliana jambo.toka shoto ni mwenyekiti wa klabu ya waandishi wa
habari mkoa wa Pwani.Masau Bwire,katikati ni Katibu wa MECKI,Nakajumo
James na kulia ni Mwenyekiti wa klabu ya waandishi wa habari mkoa wa
Kilimanjaro Rodrick Makundi.
Makamu mwenyekiti wa klabu ya wanahabari mkoa wa Kilimanjaro ,Salome
Kitomary akisoma taarifa ya klabu hiyo kwa wageni kutoka klabu ya
wanahabari mkoa wa Pwani.
Mwenyekiti wa MECKI,Rodrick Makundi akitoa ufafanuzi wa mambo
mbalimbali ya klabu ya waandishi wa habari mkoa wa Kilimanjaro.
Mratibu wa klabu ya waandishi wa habari mkoa wa Kilimanjaro Yusuph
Mazimu akitoa uzoefu alioupata toka aanze kazi hiyo akilinganisha na
klabu nyingine ambazo baadhi ya waratibu wamekuwa na migogoro na
viongozi wa vilabu.
Mratibu wa MECKI ,Yusuph Mazimu akimuonesha mwenyekiti wa klabu ya
waandishi wa habari wa mkoa wa Pwani ,Masau Bwire namna anavyoandaa
taarifa mbalimbali kwa ajili ya mirejesho UTPC ikiwa ni sehemu ya kazi
yake.
Wanahabari wa mkoa wa Pwani walikuwa katika ziara mkoani Kilimanjaro
wakigonga glass na viongozi wa klabu ya waandishi wa habari mkoa wa
Kilimanjaro katika siku yao ya kwanza ya ziara katika klabu hiyo.Picha na Dixon Busagaga wa globu ya jamii ,Moshi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...