Mkurugenzi wa mamlaka ya hifadhi za taifa(TANAP)Allan Kijazi akiazungumza wakati wa hafla fupi ya kuwapokea wapanda mlima zaidi ya 30,waliopanda mlima Kilimanjaro Desemba 6 kwa lengo la kupandisha bendera ya taifa kwa ajili ya sherehe ya miaka 51 ya uhuru wa Tanzania.
Mwenyekiti wa bodi ya utalii Tanzania(TTB)Balozi Charles Sanga akizungumza wakati wa hafla fupi ya kuwapokea wapanda mlima zaidi ya 30,waliopanda mlima Kilimanjaro Desemba 6 kwa lengo la kupandisha bendera ya taifa kwa ajili ya sherehe ya miaka 51 ya uhuru wa Tanzania.
Mwenyekiti wa bodi ya Serengeti Breweries Jaji Mark Bomani akizungumza wakati wa hafla fupi ya kuwapokea wapanda mlima zaidi ya 30,waliopanda mlima Kilimanjaro Desemba 6 kwa lengo la kupandisha bendera ya taifa kwa ajili ya sherehe ya miaka 51 ya uhuru wa Tanzania.
Mkuu wa mkoa wakilimanjaro Leonidas Gama akizungumza wakati wa hafla fupi ya kuwapokea wapanda mlima zaidi ya 30,waliopanda mlima Kilimanjaro Desemba 6 kwa lengo la kupandisha bendera ya taifa kwa ajili ya sherehe ya miaka 51 ya uhuru wa Tanzania.
Mkurugenzi wa Serengeti Breweries Steven Gannon akipokea cheti kutoka kwa waziri wa maliasili na utalii Balozi Khamisi Kagasheki baada ya kufanikiwa kufika Uhuru peak.
Askari wa jeshi la wananchi wa Tanzania ,Private Amani Kasanga akipokea cheti kutoka kwa waziri wa maliasili na utalii Balozi Khamisi Kagasheki baada ya kufanikiwa kufika Uhuru peak.
Askari wa jeshi la wananchi wa TAnzania Luteni Kijakazi Marijebu akipokea cheti kutoka kwa waziri wa maliasili na utalii Balozi Khamisi Kagasheki baada ya kufanikiwa kufika Uhuru peak.
Baaadhi ya washiriki wa zoezi la kupanda mlima Kilimanjaro lililoongozwa na Jenerali mstaafu wa jeshi la wananchi,Jenerali George Waitara.
Mbunge wa jimbo la Kohani Zanzibar Mh Amina,akiwa na washiriki wengine waliopanda mlima Kilimanjaro.Picha na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii,Moshi. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...