Afisa Utafiti Mwandamizi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania Bwana Emphraim Mdee akiongea na Wanahabari (hawapo pichani) kuhusu Urasimishaji wa Tasnia ya Filamu na Muziki Tanzania na kuanzishwa kwa utaratibu wa kubandika stempu za kodi kwenye kazi za wasanii,katikati ni Katibu Mtendaji wa Bodi ya Ukaguzi wa Filamu Tanzania Bibi Joyce Fissoo.(Picha na Benjamin Sawe wa WHVUM).
Home
Unlabelled
WASANII KUANZA KUNUFAIKA NA KAZI ZAO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...