Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akiangalia shamba la mahindi katika kijiji cha Mwamapuli ambalo lime pandwa kwa kufuata mstari.Kushoto kwake ni mtalamu wa mifugo uvuvi na nyuki kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu,Nemes Makembe na anaye fuatia ni Kanali Ngerema Rubinga ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Mlele.
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda anaonekana akipiga picha twiga ambaye alikuwa jirani na bwalo la chakula katika hifadhi ya katavi ambapo Waziri Mkuu alikuwepo kwa ajili ya kupata chakula cha mchana baada ya mkutano wa hadhara katika kijiji cha stalike.Nyuma yake ni Mhifadhi Mkuu wa Mbuga ya Katavi,Jonh Gara.
Kikundi cha kina mama wa kijiji cha Mbede kinachoitwa Maswolwa kiki cheza ngoma ya Nsimba wakati Waziri Mkuu,Mizengo Pinda alipo wasili katika kijiji hicho kwa ajili ya mkutano wa hadhara.Waziri Mkuu ambaye ni Mbunge wa jimbo la Katavi yupo mkoani hapa kwa ajili ya kuhamasiha shughuli za maendeleo.Picha na Chris Mfinanga.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...