Waziri wa Maliasili na Utalii,Mhe. Balozi Khamis Kagasheki (kushoto) akipata ufafanuzi kutoka kwa Bi. Jane Goodall mwanzilishi wa Taasisi ya Jane Goodall inayotambulika duniani kwa mchango wake wa kuhifadhi wanyama aina ya Sokwe katika Hifadhi ya Taifa ya Gombe. Kulia ni mmoja wa wataalam wa Taasisi hiyo, Bw. David Shear.
Mhe Balozi Khamis Kagasheki akiagana na mgeni wake Bi. Jane Goodall.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...