Kivuko cha Mv Pangani II ni kiunganishi kikubwa kati ya mkoa wa Tanga na hifadhi ya Saadani kwa watalii wanao toka Tanga. Ila vidumu si kwenye Landrover tuu hata huku pia .
Tunajazia kidogo .
Watumiaji wa kivuko wakishuka katika chombo hicho Picha na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii aliyekuwa Pangani.
Imekaa vizuri.
ReplyDeleteKivuko cha Pangani safi kabisa.
ReplyDeleteEndeleeni kukitunza ili kiweze kuishi kwa muda mrefu
Naona kama kinahatarisha usalama wa abiria na mali zao, au macho yangu tu?
ReplyDelete