BAADA YA KUSUBIRIWA KWA HAMU, HATIMAYE KILE KITABU 'Kifo ni Haki Yangu' CHA MTUNZI MAHIRI WA RIWAYA NCHINI TANZANIA, Eric James Shigongo, sasa kiko tayari kuanza kuuzwa karibu yako. Mtunzi huyo ameandaa zawadi ya VALENTINE kwako wewe msomaji wa mtandao huu, hivyo utajipatia kitabu hiki BURE, unachotakiwa kufanya ni kuhakikisha wewe ni mwanachama au umeshajisajili katika mtandao wa www.globalpublishers.info, kama bado fanya hivyo kuanzia leo kisha usubiri utaratibu wa kujipatia kitabu hiki na vingine BUREEE...Stay Tuned!
Home
Unlabelled
UNATAKA KUPATA KITABU CHA ERIC SHIGONGO BURE?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Ankal,
ReplyDeleteKitabu hiki hakina 'review' ya yaliyomo, maana cover ya kitabu kwa nyuma huwa na comments toka kwa wahariri, je Ankal wewe kama Mhariri Mkuu a.k.a Editor-in-Chief wa Globu maarufu ya Jamii hukupitia Riwaya hii na kuandika mistari miwili mitatu juu ya kazi hii ya Eric Shigongo?
Mdau
Potential-Buyer (Mnunuzi mtarajiwa)