Mmoja ya wahandisi wa ujenzi wa uwanja huo wa songwe akimwelezea waziri wa uchukuzi Dk Mwakyembe akimwelezea hatuza za mwisho za ujenzi wa maegesho ya ndege kubwa. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA |
Home
Unlabelled
DK. HARRISON MWAKYEMBE ATEMBELEA UWANJA WA NDEGE SONGWE MBEYA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kikooro we jembe kaka nakuaminia!
ReplyDeleteChapa kazi baba Mungu yupo upande wa mwenye haki milele!
Yale 'majitu' yalitaka kutuulia jembe letu kwa ajili ya uTAJIRI wa dunia!
Kweli na mie Mwakyembe na Magufuli nawakubali wanachapa kazi. Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.Mungu awape maisha malefu muiache Tanzania pazuri.
ReplyDeleteMungu yupo upande wa mwenye haki milele! amina
ReplyDeleteNimesikia leo kwamba Precision Air wanaanza kuruka kwenda Mbeya/Songwe tarehe 16 kwa bei che ya 117,000!! Bye bye Auric Air na bei zenu za kibepari za 571,000!!!
ReplyDeleteSasa naombea Precision isiwe na delays na cancellations KKY (Kama Kawaida Yao)!!