Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akiendesha kikao cha Mkutano wa Saba wa Baraza la Biashara la Zanzibar, (ZBC) kilichofanyika katika Ukumbi wa Salama Bwawani Hotel Mjini Zanzibar,(kushoto) Waziri wa Biashara Viwanda na Masoko,Nassor Ahmed Mazrui,na katibu Mkuu Kiongozi Dk.Abdulhamid Yahaya Mzee.
Baadhi ya waalikwa kutoka Taasisi walioshiriki katika Mkutano wa Saba wa Baraza la Biashara la Zanzibar, (ZBC) kilichofanyika katika Ukumbi wa Salama Bwawani Hotel Mjini Zanzibar.
Rais mstaafu wa Jumuiya ya Wafanyabiashara,Viwanda na Wakulima,(Chamber of Comance) Zanzibar,akichangia mada wakati wa Mkutano wa Saba wa Baraza la Biashara la Zanzibar, (ZBC) kilichofanyika katika Ukumbi wa Salama Bwawani Hotel Mjini Zanzibar.
Mkuu wa Wilaya ya Kati Unguja, Vuai Mwinyi,akichangia mada iliyozungumzia Utalii wakati wa Mkutano wa Saba wa Baraza la Biashara la Zanzibar, (ZBC) ulichofanyika katika Ukumbi wa Salama Bwawani Hotel Mjini Zanzibar.
Mbunge wa Jimbo la Mpendae,pia Mfanya Biashara Salum Turky,alipokuwa akichangia kuhusu suala la ujenzi wa viwanda vipya vitakavyo ondoa tatizo la Ajira kwa wananchi wakati wa Mkutano wa Saba wa Baraza la Biashara la Zanzibar, (ZBC) ulichofanyika  katika Ukumbi wa Salama Bwawani Hotel Mjini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akipata maelezo kutoka kwa Marium Hilali,(kushoto) wa kikundi cha Zaspo cha Kiembesamaki,wilaya ya Mahgaribi Unguja, wakati alipotembelea maonesho ya Bidhaa mbali mbali za Vikundi vya wajasiria mali yaliyofanyika leo katika mkutano wa Saba wa Baraza la Biashara katika viwanja vya Salama Bwawani leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akipata maelezo kutoka kwa Nassor Hamadi Omar, wa (ZOP) Zanzibar Orgave Prodiusears, cha Fuoni Unguja, wakati alipotembelea maonesho ya Bidhaa mbali mbali za Vikundi vya wajasiria mali yaliyofanyika katika mkutano wa Saba wa Baraza la Biashara katika viwanja vya Salama Bwawani leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akipata maelezo kutoka kwa Tatu Suleiman wa kikundi cha Zaidat Oil & Soap Spice,cha Chukwani Magharibi Unguja,(kushoto) alipokuwa akiangalia mafuta ya wakati alipotembelea maonesho ya Bidhaa mbali mbali za Vikundi vya wajasiria mali yaliyofanyika leo katika mkutano wa Saba wa Baraza la Biashara katika viwanja vya Salama Bwawani Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akiangalia kitabu wakati alipotembelea Kikundi cha Moto Hand Craft, cha Pete Wilaya ya Kusini Unguja,ambacho kinazalisha nguo aina ya Batiki,maonesho ya vikundi mbali mbali vya Wajasiria mali yaliyofanyika katika mkutano wa Baraza la Biashara katika viwanja vya Salama Bwawani Zanzibar.(Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Hongera Rais Shein. Tusonge mbele kwa Biashara ili itusadie kukomesha umaskini.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...