Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt. Fennela Mukangara akiwa katika mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Executive Solution,Agrey Mareale na Mkurugenzi wa Uhusiano na Jamii wa Kampuni ya TBL,Steven Kilindo walipomtembelea ofisini kwake kwa nia ya mazungumzo ya hapa na pale ambapo walimuomba awe mgeni Rasmi katika mashindano ya Kilimanjaro Marathon yanayotarajiwa kufanyika mjini Moshi tarehe 3/3/2013
Rais wa Kampuni ya Young Poong Ecoenergy kutoka Korea Bwana JaeJong Moon akiteta
jambo na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt. Fennela Mukangara walipokutana
Ofisini kwa Mheshimiwa Waziri Jijini Dar es Salaam jana (Leo).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...