iPhone 4S - 16GB For Sale (Almost like brand new)

I am selling my iPhone 4S which I only used for three months before getting iPhone 5.
It is white, well looked after and no scratch marks whatsoever. Just like new. It comes in its original box with charger.
I live in the UK. The phone has been shipped and is now in Dar. You won’t pay until you have seen the phone. If interested get in touch.
Price: Tsh 990,000
The first person to see it will buy.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. London umechoka kubeba box?tafuta ujanja mwingine wa kupata pound.

    ReplyDelete
  2. wacha mzaha wewe anon mla vumbi nunua kitu orijinali kutoka UK kwa bibi

    ReplyDelete
  3. kwani ukiuza simu moja tu ndo umechoka box? kwa hiyo wenye kazi maofisini bongo na nyumbani mnafuga kuku wa kuuza ni kwamba mmechoka kula hela za kampuni? watu walionyimwa visa utawajua tu. wewe kama huwezi ku-afford iphone endelea tu na ki-nokia chako mscheew!

    ReplyDelete
  4. Kwanini mdau usinge upgrade kwa ku-trade in iphone 4 na kuapata 5, utaratibu ambao unakubalika na manufactucturer pamoja na most carriers. Sasa ikitoka iphone 6 utauza hiyo uliyonunua sasa hivi baada ya kununua iphone 6? Na utaendelea kufanya hivyo kwa iphone 7,8,9,........50?

    ReplyDelete
  5. za mchina aina hiyo hiyo tunapata kwa shs 350,000/= hapa Bongo kaka!

    Imekula kwako!

    ReplyDelete
  6. wewe lete dollar 150 mie nitakununulia kwenye craiglist hapa Marekani

    ReplyDelete
  7. Nadhani huyu mwenzetu anao ndugu na jamaa zake wa karibu ambao wana uwezo wa kununua au/na kumtafutia soko! Hivi vitu vidogo vidogo sidhani kama ni busara kutangazwa kwenye blog kubwa kama hizi.

    Inachosha na kukera kutufanya tusome vijihabari kama hivi!!! Angalieni nini cha kutuletea humu! Asanteni kwa kunielewa!

    ReplyDelete
  8. Huyu jamaa anauza sim yake humu ni mshamba sana,unadhani bongo masikini kama wewe kununua kisimu kimetumika?njoo MAREKANI tukuonyeshe vitu vya kuuza kwa faida wewe.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...