Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwasalimia wananchi wa Igunga wakati alipokuwa akiwasili katika mkutano mkubwa wa hadhara uliofanyika uwanja wa Barafu mjini Igunga muda mfupi baada ya kuzindua ujenzi wa daraja la Ndutu pamoja na mradi mkubwa wa maji utaohudumia asilimia 70 ya wakazi wa Igunga. 
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutumia maelfu ya wananchi wa Igunga katika mkutano mkubwa wa hadhara uliofanyika uwanja wa Barafu mjini Igunga muda mfupi baada ya kuzindua ujenzi wa daraja la Ndutu pamoja na mradi mkubwa wa maji utaohudumia asilimia 70 ya wakazi wa Igunga.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwapungia mikono wananchi wa Igunga wakati alipokuwa akiwahutubia katika mkutano mkubwa wa hadhara uliofanyika uwanja wa Barafu mjini Igunga muda mfupi baada ya kuzindua ujenzi wa daraja la Ndutu pamoja na mradi mkubwa wa maji utaohudumia asilimia 70 ya wakazi wa Igunga.

Wananchi wa Igunga wakimsikiliza Rais Jakaya Mrisho Kikwete (hayupo pichani) wakati alipokuwa akiwahutubia katika mkutano mkubwa wa hadhara uliofanyika uwanja wa Barafu mjini Igunga muda mfupi baada ya kuzindua ujenzi wa daraja la Ndutu pamoja na mradi mkubwa wa maji utaohudumia asilimia 70 ya wakazi wa Igunga. PICHA NA IKULU

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...