Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizungumza na Balozi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Juma Mpango aliyefika ofini kwa Karibu Mkuu leo, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Dar es Salaam. Kushoto ni Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Dk. Asha-Rose Migiro.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimkaribisha ofisini kwake, Balozi wa Rwanda, Dk. Ben Rugangizi aliyemtembelea ofisini kwake, leo, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Dar es Salaam, (Picha zote na Bashir Nkoromo).
Tanzania motomoto! Karibu Balozi wa kidemokrasia ya Congo Balozi Juma Mpango na wa Rwanda Balozi Ben Ruganigizi.Tusonge mbele Tanzania, kazi ina endelea na mapinduzi yamesha tokea.Hakuna haja ya Rais yoyote asiyo heshimwa na mke wake,Rais wa Liberia,Former first lady wa Afrika kusini, Zambia na sasa Mali. Ana weza kuendelea kurepresent nchi yake.Hongera Dr.Migiro pamoja na Abdulrahim Kinana. Tu songe mbele Tanzania na CCM. Deal yako ulifanya na Marekani kuhusu mimi wame kukomesha.Tusonge mbele CCM hakuna kurudi nyumba.CCM bila Kikwete.
ReplyDeleteHakuna kurudi nyumba maana yake nini?mwenzetu mkongo nini?kwetu tunasema Hakuna kurudi nyuma.
ReplyDelete