Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha Uchumi na Mipango ya Maendeleo Omar Yussuf Mzee (kulia)akibadilishana mawazo na Muakilishi wa Jimbo la Magomeni Salmin Awadh Salmin nje ya Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi huko Mbweni Nje ya Mji wa Zanzibar.Baraza la Nane la Wawakilishi limeanza rasmi leo ikiwa ni Kikao cha kwanza 16 January 2013,Zanzibar.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha Uchumi na Mipango ya Maendeleo Omar Yussuf Mzee (katikati)akisisitiza jambo katika mazungumzo na Muakilishi wa Jimbo la Mji Mkongwe Ismail Jusa Ladhu nje ya Ukumbi wa Baraza la Wawaklilishi huko Mbweni nje ya Mji wa Zanzibar wamwanzo kushoto ni Muakilishi wa Jimbo la Magomeni Salmin Awadh Salmin.
PICHA NA YUSSUF SIMAI-MAELEZO ZANZIBAR.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...