Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na technolojia, Dkt. Florens Turuka akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari, Jijini Dar es Salaam jana, namna wizara yake ilivyojipanga katika utekelezaji wa dhana ya kilimo kwanza.

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam

Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia imesema mkakati wa Kilimo Kwanza unaolenga kufikia mapinduzi ya kijani Tanzania ni moja vipaumbele vyake katika juhudi za kuchangia maendeleo ya kijamii na kiuchumi.

Hii ni kwa sababu sekta hiyo ya kilimo inabeba maisha ya watu wengi hapa nchini na ikiendelezwa vizuri ina uwezo wa kubadilisha maisha ya wananchi wengi katika nchi hii ambayo ina ardhi kubwa yenye kufaa kwa kilimo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Kweliii enhe?

    ReplyDelete
  2. Kila siku 'kujipanga' tunataka kusikia 'utekelezaji' yaani kitu gani kimefanyika ktk kutimiza KILIMO KWANZA.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...