Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiwalisha kiapo cha utii Wanachama wapya 45 wa CCM mara baada ya kuwapa kadi za chama hicho kwenye mkutano uliofanyika Kata ya Kasanda, Kakonko mkoani Kigoma
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimkabidhi kadi ya CCM
mwanachama mpya, Elizabeth Gwimo, alipokwa wanachama wapya 45, katika mkutano
uliofanyika Kata ya Kasanda, Kakonko Kigoma.
Wanachi wakishangilia jambo kwa pamoja
Katibu Mkuu
wa CCM, Abdulrahman Kinana akizungumza na wananchi kwenye mkutano uliofanyika
Kata ya Kasanda, Wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma.
Katibu Mkuu
wa CCM, Abdulrahman Kinana akizungumza na mabalozi wa mashina na wazee katika
Kata ya Kasanda, Kakonko mkoa wa Kigoma.
Diwani wa kata ya Kasanda, Kakonko mkoani Kigoma, Dickson Barutwa (CHADEMA), akimpa maelezo ,Ndugu Kinana kuhusu ujenzi wa nyumba za zahanati ya kata hiyo unaofanywa na serikali.
zahanati ya
kata ya Kasanda iliyojengwa na Serikali,picha zaidi bofya Michuzijr.blogspot.com.
Hivi ndo vizuri, na siyo alivyokuwa jamaa yetu wa kata moja mkoani Morogoro chadema pia,ile siyo nzuri.
ReplyDeleteHahahaha!
ReplyDeleteMhe.Zitto Kabwe Asalekum?
Umeona ugeni (Msafara uliofika kwa Treni) huko Kigoma?
Sawa Mhe.Kinana umewapata Wanachama hao 45, kazi iliyobaki ni Kumbatiza huyo Diwani wa KASANDA KWA TIKETI YA CHADEMA na kuhakikisha anaelekea Chama Tawala kwa kumkabidhi JEMBE NA NYUNDO!
ReplyDelete