Marehemu John Franklin Chekani

Baba, umepita mwaka mmoja sasa toka Mwenyezi MUNGU wetu alipopendezewa kukuchukua. Bado tuna majozi makubwa toka umetutoka na kuwa mbali nasi, lakini tunaamini upo peponi ukituombea na kutuongoza katika maisha yetu.

Kwa maana hiyo,bado tunauhisi uwepo wako katika maisha yetu.

Unakumbukwa sana na mke wako mpendwa- Susana Chekani, wanao – Franklin, Aneth pamoja na Jumbe Victor, mkwe wako Catherine na wajukuu wako Nicole, Susana na Sharlotte bila kuwasahau wanafamilia wote, wana ukoo na ndugu wote, rafiki zako na wale wote waliokupenda kwa moyo wote.

Utaishi mioyoni mwetu siku zote, tunamuomba mwenyezi MUNGU akupe mapumziko ya amani. Nasi pia kwa mapenzi ya MUNGU, tupo njia moja.

Amina.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...