Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mh. Philipo Mulugo
(kushoto) na Mkuu wa Chuo cha Ufundi Arusha Eng. Dr. Richard Masika
wakiwa wameshikia mfano wa Hundi ya Sh. mil 10 kwa ajili ya Wanafunzi
10 bora . Fedha hizo ni Ahadi ya Mh. Mizengo Peter Pinda wakati wa
mahafali ya mwaka 2012. Pembeni kushota ni baadhi ya wanafunzi bora.
Mgeni Rasmi, Mh. Philipo Mulugo akihutubia wahitimu na wageni waalikwa.
Mkuu wa Chuo cha Ufundi, Eng. Dkt. Richard Masika akitoa Hotuba wakati
wa mahafali ya Nne ya Chuo.
Mkuu wa Bodi ya chuo cha Ufundi Arusha, Bw. Abraham Nyanda alitoa
Hotuba wakati wa Mahafali.
Kushoto ni Naibu waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mh. Philipo
Mulugo wakiwa na Mkuu wa Bodi ya Chuo cha ufundi(Katika), Bw. Abraham
Nyanda pamoja na Mkuu wa Chuo cha Ufundi, Eng.Dkt. Richard Masika
wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa mahafali ya Chuo.
Baadhi ya Wahitimu wakiwa na sura za furaha wakati wa mahafali ya Nne
ya Chuo cha Ufundi Arusha.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...