Hii ni sehemu ya kwanza ya Gwiji la ukung'utaji wa kitaa la kati kutoka DRC, Lokassa ya Mbongo Jina alilopewa naTabu Ley Rochereau wakati akiwa na miaka 16, Lokassa alonga na Vijimambo aelezea safari yake ndefu ya muziki yenye mabomde na milima inayosisimua, inayofundisha na usione mtu anakula raha, hujui mateso gani aliyopitia mpaka utakapo pata bahati akuhadithie. MSKILIZE.
Shukurani kwa Felix Muzungu mtafsili wetu wa kifaransa kwa kiingereza

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...