President Dr. Jakaya Mrisho Kikwete (right) speaks during a World Economic Forum session on “Mobilizing Private Sector Investment in African Energy,” held at World Food Programme Tent in Davos, Switzerland. On the left is USAID administrator Dr. Rajiv Shah and second left is former British Prime Minister Tony Blair.
President Dr. Jakaya Mrisho Kikwete and former British Prime Minister Tony Blair leaves World Food Programme tent in Davos, Switzerland after participating in a meeting on “Mobilizing Private Sector Investment in African energy,” yesterday
Photos by Freddy Maro

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. swali langu kila siku ni kwanini mh rais wetu huwa wanamvalisha hiyo kitu shingoni kana kwamba nayeye hafahamiki??

    ninavyojuwa mimi hizo alama za kuvaa shingoni zinawapasa kuvaa kila ankali michuzi maana wao ni wapiga picha tu hakuna anaowajuwa na sio mheshimiwa rais

    ReplyDelete
  2. Si kila mtu anamjua kikwete na sidhani hata wewe kama unawajua marais wote dunia kwa sura labda akina mandela barack na wengineo na sio hakina sie

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...