President Dr. Jakaya Mrisho Kikwete (right) speaks during a World Economic Forum session on “Mobilizing Private Sector Investment in African Energy,” held at World Food Programme Tent in Davos, Switzerland. On the left is USAID administrator Dr. Rajiv Shah and second left is former British Prime Minister Tony Blair.
President Dr. Jakaya Mrisho Kikwete and former British Prime Minister Tony Blair leaves World Food Programme tent in Davos, Switzerland after participating in a meeting on “Mobilizing Private Sector Investment in African energy,” yesterday
Photos by Freddy Maro
swali langu kila siku ni kwanini mh rais wetu huwa wanamvalisha hiyo kitu shingoni kana kwamba nayeye hafahamiki??
ReplyDeleteninavyojuwa mimi hizo alama za kuvaa shingoni zinawapasa kuvaa kila ankali michuzi maana wao ni wapiga picha tu hakuna anaowajuwa na sio mheshimiwa rais
Si kila mtu anamjua kikwete na sidhani hata wewe kama unawajua marais wote dunia kwa sura labda akina mandela barack na wengineo na sio hakina sie
ReplyDelete