Wajumbe wa Serikali ya Tanzania wakinukuu mambo mbalimbali yaliyokuwa yakielezwa na ujumbe wa Wizara ya maji ya nchini Misri jijini Dar es Salaam leo.
|
Balozi wa Misri nchini Tanzania,Hossam Moharam (kushoto) akiwa sambamba ujumbe wa nchi yake uliofika nchini kwa majadiliano ya mambo mbalimbali ya sekta ya maji.
|
Ujumbe wa Wizara ya Maji ya nchini Misri ukifuatilia majadiliano.
|
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...