Meneja Usambazaji wa Samsung Mobile Tanzania, Sylvester Manyara(kushoto),Msimamizi wa Bahati na sibu Tanzania, Abdalah Hemed na Mkufunzi wa Samsung Tanzania, Joel Laizar wakionyesha zawadi za washindi mara baada ya kuchezesha droo ya Samsung ya msimu wa sikuu ya X’mass na Mwaka mpya Dar es Salaam.Zawadi zote zinathamani ya shilingi milioni 6.
Meneja Usambazaji wa Samsung Mobile Tanzania, Sylvester Manyara akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kuchezesha droo ya Samsung ya msimu wa siku kuu ya X’MASS NA mwaka mpya jijini Dar es Salaam leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...