Mshambuliaji wa Timu ya Simba,Masoud Kaheza akijaribu kutaka kuwatoka Mabeki wa timu ta Black Leopard ya nchini Afrika ya Kusini,wakati wa mchezo wa kirafiki uliochezwa jioni ya kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Simba imepigwa bao 1-0.
 Winga wa kushoto wa timu ya Simba,Ramadhan Singani akiwania mpita na beki wa timu ya Black Leopard ya nchini Afrika ya Kusini,Thulan Ntshingila wakati wa mchezo wa kirafiki uliochezwa jioni ya kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Simba imepigwa bao 1-0.
 Mshambuliaji wa Timu ya Black Leopard ya nchini Afrika ya Kusini,Bafana Sibeko akiingia langoni mwa timu ya Simba huku Beki wake akiangalia namna ya kumzuia.
Beki wa Simba akiondoa hatari iliyokuwa ikielekea langoni kwake.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Ni Simba ipi hii, hao wachezaji mbona wote hawajulikani?

    ReplyDelete
  2. Simba SC ama kweli ninyi ni Jamvi la wageni!

    Wenzenu Yanga SC wamewakanyaga hao Black Leopards kote kote Mechi ya kwanza Dar na Mechi ya pili Mwanza!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...