Kwa niaba ya Ndugu,jamaa na marafiki wa Marehemu Herman Minja wa jijini Arusha,Tunatangaza ratiba ya mazishi ya ndugu yetu Mpenda Marehemu HERMAN MINJA aliefariki ghafla nyumbani kwake jijini Arusha hivi karibuni,Tararibu ya kuuaga Mwili wa Marehemu itaanza saa moja asubuhi siku ya Jumamosi (leo) tarehe 12 Januari 2013 Nyumbani kwa Marehemu Arusha na baadae Mwili utasafirishwa kwenda nyumbani kwao Marangu Masia Mamba,Moshi kwa Mazishi. Ibada ya mazishi Marangu itaanza saa sita mchana .
Bwana ametoa na bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe
Amen.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...