Baadhi ya watu wanaotafsili lugha za alama wakiendelea na kazi hiyo wakati wa mkutano |
Baadhi ya wawakilishi wakisikiliza kwa makini |
Mwenyekiti wa TUSPO Bw. E LLEZER Mdakima kushoto akizungumza wakati wa mkutano huo wengine kulia ni Mjumbe wa Taasisi ya The John Mashaka Bi, Latifa Masasi na Katibu wa taasisi hiyo Bi, Rabia Bakari. picha na www.burudan.blogspot.com |
Enhee hii ''The John Mashaka'' ndiye huyu huyu Mashaka wa hoja nzito humu jamvini?
ReplyDeleteKazi ipo mwaka huu.
ReplyDeleteHivi huyu katibu ndo mke wa yule mpiga picha maarufu jijini Mbeya eenh? Kama sijakosea anaitwa Rashid Mkwinda mnaomjua hebu mnisaidie nahisi namfahamu huyu dada anayemfahamu anisaidie tafadhali
ReplyDeleteIli kuuweka sawa Uchumi hasa ukiwa unadorora kwa kiwangi cha chini cha matumizi ya watu kwenye jamii Mamlaka inachochea matumizi ya Umma au Jamii, pana utaratibu wa 'Creation of employement' au 'Increasing Public Expenditure' !
ReplyDeleteSasa, ujio wa Asasi kama hizi (The John Mashaka Foundation) inawezekana ndio mwenendo huo unatekelezwa!
Yetu macho!