Mbunge wa Jimbo la Kalambo,Mh. Josephat Kandege akiwa katika kilele cha
Gilmans alipopanda Mlima Kilimanjaro mwishoni mwa mwaka jana,Mh Kandege ndiye mbunge
pekee aliyefanikiwa kufika katika kilele hicho kati ya wabunge saba
waliopanda mlima Kilimanjaro.
Mbunge wa Jimbo la Kalambo,Mh. Josephat Kandege akiwa na wapandaji wengine
ambao kwa pamoja walifanikiwa kufika katika kituo hicho cha Gilmans
mmoja wapo akiwa ni Dixon Busagaga wa globu ya jamii Moshi.
Mbunge wa Jimbo la Kalambo,Mh. Josephat Kandege akiwa katika kilele cha
Gilmans alipopanda Mlima Kilimanjaro mwishoni mwa mwaka jana,Mh Kandege ndiye mbunge
pekee aliyefanikiwa kufika katika kilele hicho kati ya wabunge saba
waliopanda mlima Kilimanjaro.
Safari ya Mlimani ikiendelea.
Ukiwa juu ya mlima Kilimanjaro hivi ndivyo maeneo mbalimbali ya mlima
yanavyoonekana.
Na Dixon Busagaga wa globu ya jamii Moshi.
Zamani karibia sehemu zote hizi zilifunikwa kwa barafu, leo hii ni mimawe tu ndio yenye kuonekana.
ReplyDeleteYaani mandhari utafikiri uko mwezini vile. Hakika yanapendeza. Inshaallah siku moja nami nitapanda Afya ikiruhusu.
ReplyDelete