Bondia Hamisi Matunda wa Klabu ya Mashine ya Maji kushoto akipambana na Abdallah Shamte wa Klabu Ya Ashanti ya ilala Shamte aliibuka na ushindi wa TKO raundi ya pili. |
Bondia Hamisi Matunda wa Klabu ya Mashine ya Maji kushoto akipambana na Abdallah Shamte wa Klabu Ya Ashanti ya ilala Shamte aliibuka na ushindi wa TKO raundi ya pili. |
Bondia wa Klabu Ya Ashanti ya Ilala Abdallah Shamte akipambana na Hamisi Matunda wa Mashine ya maji wakati wa mashindano ya klabu bingwaShamte aliibuka na ushindi wa TKO raundi ya pili. |
Mashabiki wa ASHANTI BOXING YA ILALA WAKISHANGILIA. Picha na www.Superdboxingcoach. |
Kila la kheri Ashanti Boxing Club,
ReplyDeleteIsipokuwa mzingatie ya kuwa Ndondi na lishe na maadili mema,
Yaani (ndoni+lishe+tabia njema)
Sio Ndondi na Gongo na Mabangi na Madawa na Maukorofi na Ukabaji!
Au siyo?
Tunategemea mtatutoa Kimaso maso, kama mnavyoona kwenye maeneo mengine ya Michezo bado tupo mwendo wa hali jojo!