Meneja wa kinywaji cha Guinness.Davis Kambi akiongea.
Meneja wa kinywaji cha Guinnes, Davis Kambi akipiga picha ya pamoja na washiriki wa shindano la Guinness Football Challenge wakati walipokuwa wakiagwa kwenye mgahawa wa City Sports Lounge Posta ,jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki .Washiriki hao wameondoka usiku wa kuamkia jana kuelekea nchini Afrika Kusini ambako watashiriki katika shindano hilo.
Meneja wa kinywaji cha Guinnes, Davis Kambi akimkabidhi tiketi za ndege na hati za kusafiria kwa kiongozi wa washiriki wa shindano la Guinness Football Challenge,Mohamed Kobembe kwenye hafla fupi iliyofanyika mwishoni mwa wiki ndani ya kiota cha maraha cha City Sports Lounge kilichopo katikati ya jiji la Dar.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...