Huyu mdau, ambaye bila shaka ni mgeni jijini Dar es salaam, anajikuta katika hali ngumu baada ya kuingia mtaa wa Samora akitokea kaskazini kuelekea kusini. Bahati nzuri madereva wenzake walimstahi na kusimama kumpisha ili ageuze na kuingia mtaa wa Zanaki. Bahati nzuri pia kina Ras Makunja hawakuwepo wakati huo la sivyo wangemkunja...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Kunatakiws kuwe na alama za barabarani kuonyesha njia moja. Sio swala la dereva kuwa mgeni na njia

    ReplyDelete
  2. inawezekana kabisa mdau hana tabia ya kuangalia signs zilizopo barabarani. yeye huwa anaendesha tu, pale aonapo barabara. Ingekuwa huku ughaibuni zaa hizi angetandikwa faini vizuuuri!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...