Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wawekezaji , (ZATI) Abdulswamad Said Ahmed,akitoa Ripoti ya Bodi ya Wakurugenzi wa Wawekezaji katika sekta ya Utalii,pamoja na jumuiya ya Makampuni ya Watembezaji Watalii Zanzibar (ZATO) kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein, Ikulu Mjini Zanzibar,(kushoto) Mjumbe wa Bodi Bobby Myenna
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein,akizungumza na Uongozi wa Bodi ya Wakurugenzi wa Jumuiya ya Wawekezaji katika sekata za Utalii, (ZATI) pamoja na jumuiya ya Makampuni ya Watembezaji Watalii Zanzibar (ZATO) Ikulu Mjini Zanzibar,
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein,akiagana na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wawekezaji , (ZATI) Abdulswamad Said Ahmed,baada ya mazungumzo na Bodi ya Wakurugenzi wa Wawekezaji katika sekta ya Utalii,pamoja na jumuiya ya makampuni ya Watembezaji Watalii Zanzibar (ZATO) Ikulu Mjini Zanzibar,Picha na Ramadhan Othman wa Ikulu, Zanzibar.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...