Habari za uhakika kabisa kutoka Vatican, zinaeleza kuwa kiongozi mkuu wa
kanisa la katoriki Duniani,Pope Benedict XVI ametangaza kuwa ataachia madaraka ya uongozi wake huo ifikapo tarehe
28-02-2013.
Pope Benedict XVI alichaguliwa kuwa pope mwaka 2005,
Kiongozi huyo atatimiza miaka 86 mwezi April mwaka huu,Sababu ya
kujiuzuru kiongozi huyo wa katoriki duniani bado haijajulikana..pengine
kwa ajili ya umri ! habari zaidi zitafuata baadaye
Hili; ni katika Utukufu wa Mungu. Kila jambo lina sababu zake hata kama haziwekwi bayana na binadamu kutokana na ulelewa wetu funyu.
ReplyDeleteKwenye mtandao sababu ni jinsi ambavyo aliendesha au kusimamia vibaya kashfa za unyanyasaji wa kijinsia.
ReplyDelete