Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Mkurugenzi wa Benki ya
Dunia kwa Nchi za Tanzania,Uganda na Burundi,Philippe Dongie,alipofika
Ikulu Mjini Zanzibar kwa ajili ya mazungumzo na Rais, leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Mkurugenzi wa Benki ya
Dunia kwa Nchi za Tanzania,Uganda na Burundi,Philippe Dongie,alipofika
Ikulu Mjini Zanzibar leo.[Picha na Ramadhan Othman,IKulu.]
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...