Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na  Ujumbe kutoka  Kituo cha Biashara  Duniani (ITC),unaoongozwa na Jacky Charbonneau,ambapo ujumbe  huo wa watu wanne walifika Ikulu Mjini Zanzibar leo kwa mazungumzo  Rais
  Ujumbe wa watu wannne kutoka  Kituo cha Biashara  Duniani (ITC),unaoongozwa na Bw,Jacky Charbonneau,(kulia) wakiwa katika mazungumzo ya pamoja na  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,na Uongozi wa Wizara ya Biashara Viwanda na Masoko,walipofika Ikulu mjini Zanzibar leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akipeana mikono  na Kiongozi wa Ujumbe kutoka  Kituo cha Biashara  Duniani (ITC), Bw. Jacky Charbonneau,akiongoza ujumbe wa watu wanne waliofika Ikulu Mjini Zanzibar kwa ajili ya mazungumzo  leo.Picha na Ramadhan Othman Ikulu, Zanzibar

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...