Mtunzi, mwimbaji na mpiga gita hodari Fred Saganda, aliyejizolea umaarufu mkubwa na wimbo wake wa kichagga (ule wa "Ati Chuwa naye alikuwepo") safari hii kaibuka na ngoma ya kiarabu. Usiku wa kuamkia leo Februari 10, 2013 alikaribishwa jukwaani na The Kilimanjaro Band 'Wana Njenje' pale Salender Bridge club na kufanya vitu vyake na kufurahisha sana kwa ubunifu wake
Home
Unlabelled
fred saganda aibuka na ngoma mpya ya 'kiarabu' ya magumashi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Hakuna O kwenye kiarabu "BOMA"!!
ReplyDeleteMdau wa kwanza. mwimbaji ameshatanguliza angalizo kuwa asemehewe kama akimtukana mtu maana kiarabu hakifahamu.
ReplyDeleteBurudani tosha mbavu sina