Mhe. Membe (wa pili kushoto) akiwa na viongozi wenzake wa nchi za EAC wakiwa wameshikilia Itifaki hiyo mara baada ya kusainiwa |
Mhe. Membe akipitia Itifaki hiyo kabla ya kusainiwa huku Bw. John M. Haule, Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akishuhudia. |
Mhe. Membe akijadiliana jambo na Katibu Mkuu wake Bw. Haule. Mwingine katika picha ni Mhe. Pereira Ame Silima (Mb.), Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi. |
Picha nyingine ya Mhe. Membe na Katibu Mkuu wake Bw. Haule na wajumbe wengine waliohudhuria mkutano huo. |
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Dkt. Richard Sezibera (kulia) akijadiliana jambo na Waziri wa Ulinzi wa Uganda. |
Mhe. Membe akifanya mahojiano na Waandishi wa Habari baada ya shughuli ya utiaji saini kukamilika. |
Picha zaidi za mahojiano kati ya Mhe. Membe na Waandishi wa Habari. |
Amani na Usalama?
ReplyDeleteSafari ndefu tungali tunayo ktk eneo letu la Afrika ya Mashariki!
Kama tunavyoshuhudia mauaji na uhalifu vinavyojiri nchini.
-Mapigano baina ya watu kwa Misingi ya Dini huko Besere sere-Geita.
-Uharamia wa Wanyama pori unaohisiwa kusukumwa na Makundi ya kuvuka Mipaka Afrika ya Mashariki.
-Wizi wa Makontena ya Madini yakiwa njiani kwenda ng'ambo.
-Mauaji ya Viongozi wa Dini Visiwani.
-Kumwagiana tindikali n.k