ILI KUJIWEKA KATIKA NAFASI YA KUSHINDA, FANYA HAYA YAFUATAYO:
1. Tumia muda mwingi kusoma vitu mbalimbali kwenye tovuti hii.
2. Alika (invite friends) watu wengi kuja katika tovuti hii.
3. Weka (post) mada nyingi katika 'Forum'.
4. Toa maoni mengi (comments) katika stori mbalimbali.
5. Tumia muda mwingi kwenye 'Chat Room'.
6. Weka picha (post photos) nzuri na zenye maadili kwenye profile yako.
7. Tuma habari, picha inayoweza kutumika 'Home Page'.
  • Upande wa kulia wa web site hii, kuna column ya TOP MEMBERS, hivyo ili kuingia katika TOP TEN hiyo, fanya hayo yaliyoorodheshwa hapo juu. Watakaoingia hapo ndiyo wanaoweza kushinda!
  • Vigezo hivi vinawahusu wanachama tu (members only) wa mtandao huu, wapya na wazamani. Kama hujajiunga, jiunge sasa upate novel hii ya bure!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. tunaomba review ya kitabu hiki kuhusu yaliyomo ya mwandishi nguli nguli wa riwaya Eric Shigongo na kama kuna mdau ameshakipiti atuambie kama ni hadithi moto kama ilivyo kawaida kwa Eric.
    Mdau
    Mpenda-Vitabu-vya-Riwayas

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...