Katibu Mkuu, Mbarak Abdulwakil akipokea shairi alilolisoma Mtunzi wa Mashairi katika Jeshi la Magereza, Rashid Mtimbe (kushoto).
 Baadhi ya wajumbe wa TPS Saccos wakifurahia jambo wakati Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil alipokuwa anatoa hotuba yake ya ufunguzi wa makutano huo.  

 Mkuu wa Jeshi la Magereza nchini, Kamishna Jenerali, John Minja akitoa hotuba fupi ya kumkaribisha mgeni rasmi Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil.
 Mwenyekiti wa TPS Saccos, Deonice Chamulesile akitoa hotuba fupi ya kumkaribisha Mlezi wa TPS Saccos ambaye pia ni Mkuu wa Jeshi la Magereza nchini, Kamishna Jenerali, John Minja.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil akitoa hotuba yake ya ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Mwaka wa pili wa TPS Saccos unaofanyika katika Hotel ya Edema, mjini Morogoro.  

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil (wanne waliokaa kutoka kushoto) akiwa na wajumbe mbalimbali wa Chama cha Akiba na Kukopa (TPS Saccos) katika picha ya pamoja.
PICHA ZOTE NA KITENGO CHA MAWASILIANO YA SERIKALI
WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Hawa kwenye mamlaka zao ni watemi hasa, mpaka viatu wanasafishiwa na wafungwa. They have their own kingdom.

    ReplyDelete
  2. Ankal,
    Nimeona kosa kwenye vitambulisho vya taifa sasa sijui mimi lugha imenipiga chenga au niko sawa?
    Naona sielewi hili neno JINSI AU JINSIA lipi liko sawa kimaana ya GENDER AU SEX?
    Kama nitakua sahihi basi itabidi NIDA waingie gharama ya kusahihisha vitambulisho vyote!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...