Kampuni yetu ya BEYOND EVENT ORGANISERS inatarajia kuanza kuaanda matukio nchini Tanzania hususan katika jiji la Dar-Es-Salaam. Kwa kuanzia tutaanza na tafrija ya chakula cha usiku chenye hadhi ya mahaba kwa wapendanao (ROMANTIC DINNER).
Naomba upitie link hii http://www.surveymonkey.com/ s/GSF9NTG ili uweze kutusaidia kuchangia maoni yako.
Madhumuni ya zoezi hili ni kujaribu kupata maoni yako ili tuweze kuboresha shughuli yetu na kuhakikisha kuwa tunakidhi matakwa ya wateja wetu.
Swali la tisa (9) linakupa fursa wewe ya kutueleza kwa kina yale unayofikiria ni muhimu katika kufanikisha shughuli hiyo. Kumbuka kuandika jina lako, nambari yako ya simu na anuani yako ya barua pepe (e-mail).
Kwa kufanya hivyo utapewa punguzo la Tshs 10,000/= wakati wa kununua tiketi yako pindi muda utakapowadia.
Nitashukuru kama utatusambazia ujumbe huu kwa marafiki zako, ndugu na hata wafanyakazi wenzio ili siku itakapowadia tufurahie kwa pamoja.
Regards,
Mfunda, Yasini M.I.
tukusaidie kufanikisha biashara yako halau utatoa elfu kumi tu kwenye kiingilio? je kiingilio cha couple au mmoja?
ReplyDeletebora ungesema nusu kwa atakaekushauri vizuri
wengi mnaingia biashara bila kujipanga na kutegemes sie wengine halafu eti elfu kumi, duh.
Umeona eeeh,afanye akosee then ajifunze kutokana na makosa
ReplyDeletePENZI KITOVU CHA UZEMBE!
ReplyDeleteWatanzania tuelekeze jitihada zetu kwenye kazi na kujadili changamoto zinazotukabili badala ya kuelemea kwenye agenda za kuchangia uboreshaji Mapenzi, then so WHAT?
Mapenzi kila kiumbe anayajua kwa njia zake,kwa wakati wake na upande wake hata njiwa ana mpenzi wake kwenye tundu!
You have not been told to invest your money, it's all about opinions. No wonder some of us don't progress kwa sababu ya wivu. Bravo bro, big up. Unafanya according to customers satisfaction!
ReplyDeleteExcellent idea brother. This is truly a modern way of introducing a new product into the market. Nimeisha kamilisha survey yangu. Nasubiri tu punguzo.
ReplyDeleteHii kitu itakuwa lini? wacha tunaojua mapenzi tujimwage. Achana na hao wasio na kitu, kelele nyingiiii. Well done Bro
ReplyDeletemalwarebytes crack
ReplyDeleteminitool power data recovery crack
windows 7 crack
dvdfab crack
avast premium crack
Windows 8.1 Pro Crack
apowersoft video editor
tenorshare icarefone crack
lumion pro crack
fl studio crack