Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. mmetuwakilisha vizuri

    ReplyDelete

  2. Big up guys!

    ReplyDelete
  3. Safi sana nakuona anko wangu Mary Machaga; nimependa hilo smile lako linatisha anko wangu! Big up from Kiongozi

    ReplyDelete
  4. Akina dada UK,

    Fanyeti vyoooote mtuwakilishe na kupeperusha Bendera yetu lakini mwisho wa yote akina dada UK mrudi Bongo kuja kuchambua mbaazi, kukuna nazi kwa Kibao cha mbuzi na kukata kata bamia!

    Kubwa lao ni kujitwisha ndoo za maji wakati wa upungufu wa maji na mgao na kutwanga visamvu kwa kinu na michi!

    ReplyDelete
  5. Akina dada Majuu mrudi Bongo kuja kuolewa na mababa Wazee!

    Hiyo kwa sasa ndiyo Fasheni hapa Bongo Tambarale,

    Msichana miaka 19 mwanaume miaka 91 (Kikongwe) anatembea na mkongojo huku nakitetemeka!

    Mwanamke miaka 28 babu (Mume) miaka 78!

    Si watu ndugu wa mwanamke wanaangalia Pensheni na Urithi tuu?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...