Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dk. John Pombe Magufuli (Mb) amezindua bodi ya Usajili wa Makandarasi Contractor Registration Board (CRB) pamoja na Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) jijini Dar es Salaam
<![endif]-->Waziri
wa Ujenzi Mheshimiwa Dk. John Pombe Magufuli (Mb) akungumza na wajumbe wa
wapya na wazamani wa Bodi za (ERB) na (CRB) hawapo pichani kabla ya kuzindua bodi hizo
jijini Dar es Salaam
Waziri wa Ujenzi
Dk. John Magufuli akimkabidhi zawadi ya shukrani mjumbe wa zamani wa Bodi ya (CRB) Dk.Dalali Kafumu.
Waziri wa Ujenzi
Mheshimiwa Dk. John Pombe Magufuli (Mb) akimkabidhi Samsung Galax kama kitendea kazi Mwenyekiti
wa Bodi ya Usajili wa Wahandisi ERB
Mhandisi Profesa Ninatubu Lema mara baada ya kuzindua bodi hizo mbili.
Msajili wa Bodi ya Wahandisi, Mhandisi Steven Mlote akizungumza kabla ya
kuzinduliwa kwa bodi hizo mbili
Mwenyekiti
wa Bodi ya usajili wa Makandarasi (CRB) Mhandisi Consolatha Ngimbwa (CRB)
akizungumza kabla ya kuzinduliwa kwa bodi ya CRB
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...