Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dk. John Pombe Magufuli (Mb) amezindua bodi ya Usajili wa Makandarasi Contractor Registration Board (CRB) pamoja na Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) jijini Dar es Salaam

<![endif]-->Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa  Dk. John  Pombe Magufuli (Mb) akungumza na wajumbe wa wapya na wazamani wa Bodi za (ERB) na (CRB)  hawapo pichani kabla ya kuzindua bodi hizo jijini Dar es Salaam

Waziri wa Ujenzi Dk. John Magufuli akimkabidhi zawadi ya shukrani mjumbe wa zamani wa Bodi ya (CRB)  Dk.Dalali Kafumu.

Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa  Dk. John  Pombe Magufuli (Mb) akimkabidhi  Samsung Galax kama kitendea kazi Mwenyekiti wa Bodi ya Usajili wa Wahandisi ERB  Mhandisi Profesa Ninatubu Lema mara baada ya kuzindua bodi hizo mbili.     

Msajili wa Bodi ya Wahandisi, Mhandisi Steven Mlote akizungumza kabla ya kuzinduliwa kwa bodi hizo mbili

Mwenyekiti wa Bodi ya usajili wa Makandarasi (CRB) Mhandisi Consolatha Ngimbwa (CRB) akizungumza kabla ya kuzinduliwa kwa bodi ya CRB

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...