Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mh. Dk Emmanuel Nchimbi akizungumza na Mbunge wa Uingereza, Lord Dholakia (katikati), ambaye amekuja nchini kwa ziara ya kikazi. Kulia ni Mkuu wa Jeshi la Magereza, Kamishna Jenerali John Minja. Waziri alibadilishana mawazo na mbunge huyo katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam, kuhusu shughuli mbalimbali zinazofanywa na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mh. Dk Emmanuel Nchimbi (wa tatu kutoka kulia) akizungumza na Mbunge wa Uingereza, Lord Dholakia (wa pili kutoka kulia), na maofisa mbalimbali wa ubalozi wa Uingereza nchini. Kulia ni Mkuu wa Jeshi la Magereza, Kamishna Jenerali John Minja, wengine ni maofisa wa wizara hiyo.
Mbunge wa Uingereza, Lord Dholakia (wapili kutoka kulia) akizungumza katika kikao hicho.
--
PICHA ZOTE NA-FELIX MWAGARA 
KITENGO CHA MAWASILIANO YA SERIKALI  
WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Ooohh bongo tuko mbele kwa ku-entertain wageni, I really like the whole setting.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...